×

Nós usamos os cookies para ajudar a melhorar o LingQ. Ao visitar o site, você concorda com a nossa política de cookies.

Inscreva-se gratuitamente
image

Wikitongues, Leonhard speaking Swahili

Leonhard speaking Swahili

Hello, Jina langu naitwa Leonhard Oscar, ni Mtanzania

sasa hivi niko Mozambique.

Mimi ni mwanamziki, nafanya mziki ya Afro-Music

Pia ni mwalimu wa music, nafundisha pale

"may day" ni college ya music nafundisha.

Nimefurahi kushare na nyinyi mawazo yangu.

Nimefanya uchunguzi Tanzania nimeona watanzania wengi

ni tuna vipaji vya kujifunza mziki

tunaelewa music lakini

hatujui kusoma, hatujui kuandika music

Ni kitu kinachoumiza sana

mimi nashangaa wanasiasa, wao wanachukulia

ni jambo la kawaida.

Wameweka institute lakini naona

kama haifanyi kazi, mfano

mziki mashuleni haipo tena.

Ni jambo linalosikitisha sana

Mimi nafundisha music

Tunastruggle sana kwa sababu tunafikiria kwamba

tunawapokea watu, na kuwaanzisha chini sana

lakini hawawezi kufika kule wanapotarajia kufika

hawawezi kufika level ambayo

watu wanategemea wafike

kwahiyo wazo langu kwa serikali

na kwa bunge, wazo langu

Ninaomba rais na anyehusika

na waziri

arudishe, naomba mrudishe elimu

ya mziki mashuleni. Watoto waanze

wakiwa wadogo, kujifunza music ili

iingizwe kwenye syllabus ya nchi

hii kitu inasaidia, inasaidia sana.

Mfano unataka kutangaza utalii

unataka kutangaza utamaduni,

unatangazaye

ni kupitia miziki.

Lakini unakuta music

mtu ana, watu wana tamaduni zao

lakini hawezi kuziandika

mtu ana kipaji

anakufa zile video zikipotea

basi watu wanakaa wanasahau.

Pia ku-understand, yaani kufanya ule mziki

kutengeneza katika njia sahihi

Please, serikali ninaomba tena,

mrudishe music mashuleni.

Subtitles by the Amara.org community

Learn languages from TV shows, movies, news, articles and more! Try LingQ for FREE