03 Hisia
Moyo wangu unahisi vitu vingi.
Najisikia furaha bibi yangu akitusimulia hadithi jioni.
Najisikia kufanya mzaha ninapocheza na rafiki zangu.
Najisikia vibaya baba yangu anaposema hana pesa.
Najihisi kupendwa na mama yangu anaponikumbatia.
We gebruiken cookies om LingQ beter te maken. Als u de website bezoekt, gaat u akkoord met onze cookiebeleid.
Beginner 1 Swahili les om lezen te oefenen
Begin nu met het leren van deze lesMoyo wangu unahisi vitu vingi.
Najisikia furaha bibi yangu akitusimulia hadithi jioni.
Najisikia kufanya mzaha ninapocheza na rafiki zangu.
Najisikia vibaya baba yangu anaposema hana pesa.
Najihisi kupendwa na mama yangu anaponikumbatia.
Om audio voor deze tekst te horen en de woordenschat te leren, meld je aan voor een gratis LingQ-account.